Saturday, May 31, 2014

CALVARY BAND BAADA YA UKIMYA MREFU KUTAMBULISHA NYIMBO TATU KWA MPIGO.

By Jimmy  |  2:03 PM No comments

Calvary Group Band baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu sasa wameamua kurudi kwenye game kwa kishindo kikubwa.Wakiongea na www.unclejimmytemu.com  wamesema
ukimya wao ulikua na kusudi la kusoma muziki wa injili jinsi unavyo kwenda na kumuomba Mungu awape njia mpya ya kufanya vizuri katika tasnia ya Gospel nchini.
Kwa sasa wapo studio kwa John Lisu (Real Studio) wakitengeneza nyimbo 3 ambazo zitatoka very soon zikiwa zimepigwa live chini ya Producer Masanja.Mdau wangu kaa mkao mzuri kuwapokea Calvary Band na ujiowao mpya

 Mambo ya Sebene hatari

Kikoso cha kazi Calvary baada ya kumaliza kazi

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP