Tuesday, April 22, 2014

HABARI YA MJINI NI KUHUSU HUU WIMBO WA ROSE MUHANDO "FACEBOOK"

By Jimmy  |  6:51 AM No comments

Kwa mara ya kwanza kupitia Tamasha la Pasaka lililofanyika J/pili ya tarehe 20/4/2014 katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam Rose Muhando alitumia dakika 7 na sekunde 35 kueleza maneno yake kupitia wimbo wake mpya (Facebook) ulio kwenye albam yake mpya ya Kamata Pindo La Yesu.....Maneno ya wimbo huo yalipata umaarufu ghafla na kupelekea kila aliyetoka mahali pale kusema facebook facebook ya Rose Muhando mwee! imetugusa.Chukua dakika zako
kusikiliza wimbo huu mpya unaopatikana katika albam yake mpya Kamata Pindo La Yesu.Kwa habari na matukio endelea kuwa nami Uncle Jimmy enjoy.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP