Sunday, March 23, 2014

K.K.K.T Kijitonyama Kupitia Jumuiya Maalum Watoa Sadaka kwa Wajane

By Jimmy  |  11:37 AM No comments




 Sikui ya leo katika ibada ya K.K.K.T Kijitonyama kupitia jumuiya Maalum walitoa sadaka maalum
kama sehemu ya kuwasaida akina mama wajane. Jumuiya hiyo inayoongozwa na wazee wanne akiwemo Leonard Shayo na Ms. Nia Mbaga. Waliweza kukusanya kiasi cha shilingi
za kitanzania Milioni Moja na Laki Tano. Wakanunua vyerehani vinne pamoja na vitu mbalimbali kwaajili ya wajane.
Ibada hiyo iliongozwa na Mch. Prosper Kinyaha akisaidiana na Jumuiya ya Makazi maalum.
Nakupa fursa ya kutazama picha hizi kwa hisani ya Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama.
 Ms. Margareth Kamugisha Akitoa Tangazo
 Wajane walifika ibadani leo wakifurahia zawadi waliyopewa

 Baadhi ya vyerehani vilivyotolewa na Jumuiya maalum kama sadaka kwa wajane
 Lenard Shayo mmoja wa wazee wa Kanisa

 Sehemu ya Usharika wakiwa ibadani
 Baadhi ya wanajumuiya maalum wakisikiliza kwa makini wakati wa ibada
 Daud Goodluck Mambosho Mwenyekiti wa Jumuiya Maalum


Mch. Ernest Kadiva Mchungaji Kiongozi wa K.K.K.T Usharika wa Kijitonyama

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP