Wednesday, March 19, 2014

KAMA HUNA TAARIFA PASCAL CASIAN YUKO CHINI YA KAMPUNI YA BAHATI BUKUKU.TAARIFA KAMILI ZIKO HAPA

By Jimmy  |  10:01 AM No comments

 Mdau wangu leo nimepata bahati kukutana na muimbaji wa muziki wa injili alimaarufu Pascal Casian akiwa kwenye harakati za utengenezaji wa video za album zake mbili.Pascal Casian aliyepata umaarufu kupitia shindano la Bongo Star Search nilitaka kufahamu nini ana fanya kwa sasa kwanini amepotea na amekua kimya kwa muda mrefu.
Niliweza kuzungumza na Pascal ambaye alinijuza mengi juu ya ujio wa album zake mbili kwa mpigo akiwa chini ya kampuni ya BUKUKU INTARTENMENT.Yapo mengi aliyo sema likiwa la yeye kuamua kufanya kazi chini ya Bahati Bukuku kuanzia usambazaji hadi kupelekwa studio.Nakupa nafasi ya kusikiliza maojiano yangu na Pascal kwa hisani
ya Uncle Jimmy hapo chini
 Nami nilipata nafasi ya kuwepo kwenye video making mdau wangu
One love no comment...

 Matengenezo ya nguo on set
 Binti aliye kitandani amecheza kama mke wangu kwenye video ya Pascal Casian
 
 Dada yangu wa nguvu na kati ya Tabata Migombani Bahati Bukuku


Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP