Flora Mbasha akifanya kweli jukwaani
Huduma ya ufufuo na Uzima iliyo chini ya Mch.Josephat Gwajima imeanza huduma ya mikutano kwa baadhi ya mikoa,miezi iliyopita ilikua Arusha na
baadaye Kilimanjaro ambapo maelefu ya watu walio jitokeza katika mikutano hiyo Mungu alionekana wazi baada ya kuwaponya wengi na watu kumpokea kristo.Ufufuo na Uzima inahamia Tanga kuanzia Tarehe 21 Nov. mpaka tarehe 01 Dec. 2013
Twende kaziii
0 comments: