Thursday, September 12, 2013

CHRISTINA SHUSHO ALEZA SABABU ZA YEYE KUKATA NYWELE NAKUAFANYA VIDEO YA MILIONI MBILI NCHINI KENYA.

By Jimmy  |  2:14 PM 1 comment

Ambwene Michael akimkabidhi tuzo Christina Shusho.

Christina Shusho leo kupitia CHOMOZA ya Clouds TV ameeleza mengi kuhusiana na kazi yake ya muziki wa injili lakini pia ameeleza sababu za yeye kuacha kufanya video za bongo na kukimbilia nchini Kenya. Sababu kubwa zilizomopekleka nchini Kenya ni ubora wa ma-director na ubora wa vifaa walivyokuwa navyo wakenya.Christina Shusho anasema pia kwa sasa ni bora waimbaji wa muziki  injili wakafunguka macho kuacha dhana ya kufanya video za bei ndogo pasipo kuangalia quality ya kazi zao.Pia ameeleza sababu za yeye kuamua kunyoa nywele.kwa mengi zaidi tukutane kwenye CHOMIOZA ya CloudsTV saa kumi na mbili jioni hadi saa moja usiku( 1800-1900hrs) kila siku ya jumapili.

Kushoto Blogger,mtangazaji,Msanii,Uncle Jimmy,Christina Shusho,Ambwene Michael.
Camer mana wangu wa ukweli Aboubakary Malipula katika pozi la picha na Christina Shusho
.Blogger Ambwene Michael akiwa na Shusho

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

1 comment:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP