Monday, August 5, 2013

NAOMBA RADHI KWA UKIMYA ULIYO JITOKEZA MDAU WANGU.

By Jimmy  |  10:27 AM No comments

Napenda kuchukua fursa hii kuomba radhi wadau mbalilmbali wa Blog hii kwa ukimya uliyo jitokeza tangu nilipo post Story ya mwisho ya "Angel Bernard" hii ni kutokana na majukumu yaliyokua yamenikabili pamoja na safari nyingi za Chomoza ya Clouds tv.Pili napenda kutoa shukrani kwa wale wote waliokua wakiniimiza kuakikisha Blog inarudi katika mstari kuakikisha mastory na matukio mbalimbali unayapata mdau wangu.
Kwa sasa timu ya Uncle Jimmy imejipanga vizuri kwenda sawa na matukio yote ya burudani za Gospel pamoja na  Event mbalimbali.Kwa hisani ya Chomoza ya Clouds tv napenda kukukaribisha mdau wangu  kuanza kufatilia habari za Gospel kupitia www.unclejimmytemu.blogspot.com

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP