Friday, June 21, 2013

LEO PATA KUWA PADOGO TORONTO:PICHA ZA USHAHIDI WA DON MOEN NA KRYSTAAL KUFIKA TORONTO CANADA.

By Jimmy  |  10:09 PM 1 comment

 Mtoto wa pili wa Bishop Kakobe a.k.a Kichawa Ezekiel akiwa na mmoja wa wataalamu wa muimbaji Don Moen.
 Kundi la Krystaal wakiwa na Don Moen
Kichwa Ezekiel akiwa na The Don

Picha zinazo fata ni maeneo ya Toronto Canada ambapo watoto wa Bishop Kakobe wakitalii na kuona mji ulivyo. 
Hapo je!mnasemaje....
Mtoto wa Kwanza wa Bishop Kakobe Sifa.Hapa sijui kama alikuwa anaelewa alichokuwa akiulizwa.Busy na Facebook
Mtoto wa Tatu wa Bishop Kakobe Grace Kakobe akionekana kwa mbali
Mtaalamu Ezekiel.
Grace mwenye nguo nyeusi na tabasamu safii sijui alikua anamshanga mpiga picha au majengo?


Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

1 comment:

  1. kwa kweli tulibarikiwa sana kuwa nao hapa Toronto na mzee bishop alihubiri injili safi isiyochakachuliwa na isiyo na utata ,ilikuwa vema sana sana na hakukuwa a matatizo yoyote bali nguvu ya bwana Yesu iliokoa na kuponya wengi

    ReplyDelete

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP