Tuesday, June 25, 2013

HATIMAYE MBUYU UMEANGUKA PUUUU!!...BLOGGER,MTANGAZAJI,MC,HR,SAMUEL SASALI AMEZIMA UKIMYA.

By Jimmy  |  1:58 PM No comments

Natangaza rasmi Samuel Sasali na Milembe John Madaha ni wachumba kwa sasa.

Siku ya J/pili ya Tarehe 23/6/2013 blogger,mtangazaji wa Clouds TV, Samuel Sasali ametangaza uchumba katika kanisa la VCC huku akisindikizwa na marafiki zake wengi kutoka katika makanisa mbalimbali.Ukweli ulio wazi mbuyu huu ulikuwa mgumu kupita maelezo kila greda lililopata nafasi ya kuung'oa haikuwezekana.Lakini usukani wa merikebu Dr.Milembe ndiye aliyeuwangusha mbuyu huu na kuweka historia kwenye maisha yake.Blog hii inawatakia maisha marefu yenye muonekano mpya na wenye furaha na amani katika kuelekea kwenye maisha yenu ya ndoa.Hongera mbuyu ulianguka chaliiii Samuel Sasali kwa kuvunja ukimya.
Addo November mwanamuziki wa injili akifurahia mbuyu kuanguka puu!!Kimyaaa
Hii picha pendeza mbayaaaaa
Baada ya Mchungaji Huruma Nkone kutangaza uchumba wao kilipigwa kitu cha sebene.Usifanye mchezo palikuwa hapatoshiiiii!!

Familia ya Mzee Sasali

Tuliopotoka kanisani kuliandaliwa chakula cha jioni na familia ya Mzee Sasali.Katika chakula hicho cha jioni walijumuika marafiki mbalimbali kufurahi na familia hii ikiwemo na familia ya Milembe John Madaha.
Mr & Mrs Sasali wakikaribisha wageni.
Samuel Sasali akitambulisha familia yake na wadogo zake.Sijui Milembe kilikua kina mchekesha nini 

Kitu cha sebene kutoka kwa Glorious Celebration ikabidi na mimi nijiunge 
Hatari weka mbali na watoto likipigwa sebene ukakutana na vijana wanaopenda mwendo wache kama walivyo.

 Mzee Sasali akipata chakula na wageni mbalimbali.

Natamini ujue alichokua anacheka Samuel Sasali?siri yangu!












Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP