Monday, April 8, 2013

HAYA NDO MANENO NA UJIO MPYA WA KUNDI LA GLORIOUS CELEBRATION KABLA YA KUGAWANYIKA

By Jimmy  |  1:13 PM No comments

The new Glorious Celebration.

Siku ya jana kupitia kipindi cha GT ya Clouds Fm kinachoongozwa na Pastor na Mtangazaji Harris Kapiga. Kwenye show hiyo alikuwa na kundi jipya la Glorious Celebration ambalo siku za usoni baadhi ya waimbaji wa kundi hili waliweza kujitoa na kuanzisha kundi jipya la Glorious worship Team.Kundi hili ninaliita jipya kwakuwa sasa limeunda kikosi kipya kinacho ongozwa na Pastor Anthony Kayombo pamoja na Letisia,lakini maono na huduma yao imebebwa na Askofu Ayubu Mwakang'ata.
Mtu wangu wa karibu chukua muda wako kusikiliza walichoeleza Glorious Celebration katika ujio wao mpya 2013.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP