Saturday, March 30, 2013

Picha za ujio wa waimbaji wa Tamasha la Pasaka.

By Jimmy  |  10:55 AM No comments

 Muimbaji kutoka Afrika Kusini Sipho Makhabane katikati akiwa na mkurugenzi wa Msama Promotion Alex Msama alipo wasili uwanja wa ndege jana tayari kwa tamasha la pasaka kesho
 Kushoto ni Sipho Makhabane kutoka Afrika kusini,Hudson Kamoga (mkalimani wake) na muimbaji Upendo Kilahiro
 Sipho Makhabane akiongea na vyombo vya habari.
 Muimbaji Ephraim Sekeleti kutoka Zambia akitoa maelezo kwa vyombo vya habari siku ya jana
Ambassador of Christ nao wapo kwenye Tamsha la pasaka mwaka huu.Hapa wakiongea na wandishi wa habari

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP