Wednesday, March 27, 2013

EXCLUSIVE KUTOKA KWA SOUND ENGINEER JEDDY.

By Jimmy  |  2:00 PM No comments

 Kupitia Blog ya Swahiba wangu wa karibu Sam wiki moja iliyopita aliweza kuandika mtanzania wa kwanza ambaye Mungu amempa kibali kuweza kuvuka mipaka ya nchi yetu kutokana na taaluma aliyo nayo ya (Sound engineer) huyu si mwingine bali ni Jeddy a.k.a Keppy junior.

Kwa takribani mwezi mmoja alikua South africa katika Training ya PA system mpya ambayo ameitumia katika event mbili ya Pastar Chris na recording ya keke akiwa South africa.Moja ya zawadi aliyo ni ahaidi baada ya yeye kurudi nikunipatia exclusive ya matukio yote yaliyo tokea akiwa uko mtu wangu wa karibu.

 Waimbaji wa Keke.Hii ilikua siku moja kabla ya show


Mtaalam a.k.a Jeddy
 Huyu dada kwa mujibu wa Jeddy kazi yake kubwa ilikuwa kufunga light.

 
 Show ikianza

 
 Kitu live mtu wangu.
Keke kama kawaida yakeee

  Keke akienda sawa siku ya tukio.Picha sita zinazo fata chini ni uwanja wa Soccer  City ama Uwanja wa FNB South africa ambao Pastor Chris Oyakhilome amefanya Mkutano Mkubwa.


 


Hii ni crew timu iliyo fanya kazi katika mkutano wa Pastor Chris.Picha na matukio makubwa ya Jeddy yatafata mtu wangu wa karibu stay tune.......

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP