Sunday, November 9, 2014

WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA AZINDUA HELICOPTER UFUFUO NA UZIMA.PICHA 22 ZIKO HAPA

By Jimmy  |  7:12 PM No comments

 Mh Edward Lowassa amewahutubia waumini wa kanisa la Ufufuo na Uzima katika Uzinduzi Wa helkopta ya Kuhubiri Injili pamoja kusaidia zoezi la uokoaji wa majanga mbalimbali kama vile wakati wa Ajali,Mafuriko,Moto nk.Mh Lowassa amesema atashirikiana nao na kuhakikisha
wanapata eneo la kudumu la kuabudia.Kwa upande wake Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hilo Josephat Gwajima amesema Mpango wao ifikapo mwezi kama huu mwakani watakuwa wameshaagiza helkpta nyingine tatu kwa ajili ya kuhubiri injili na kusaidia katika shughuli za kijamii.
Mgeni Rasmi wa uzinduzi na uwekwaji wa Helkpta ya Kanisa la Ufufuo na Uzima Mh. Edward Lowassa akisalimiana na baadhi ya wachungaji baada ya kuwasili kanisani.


 
 Pastor Deo Lubala akisema neno...

Mchungaji kiongozi wa kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima akisema neno wakati wa ibada ya uzinduzi leo







 Mamombi yakifanyika kwenye Helicopter




 Picha zote na kijana wa nguvu John Pazia




Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP