Sunday, November 9, 2014

ULIWAHI KUJIULIZA KANISA LA TAG LILIZALIWA WAPI?HAPA NDIPO KIOTA CHAKE KILIANZIA MWAKA 1939.

By Jimmy  |  8:38 AM No comments

Askofu Mkuu wa TAG Rev.Dr.Barnabas Mtokambali amefanya uzinduzi wa Kanisa lenye historia kubwa mkoani Mbeya......
uzinduzi huo umefanyika tarehe 8/10/2014 katika kijiji cha Igale Mbeya,ambapo ndipo chimbuko la kanisa la TAG lilipoanzia mnamo mwaka 1939......Tazama picha za muonekano mpya wa kanisa hilo TAG IGALE Mission Centre.

Wakati wa Sifa
Muonekano wa Kanisa kwa njee.



Maombi yakichukua nafasi yake.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP