Thursday, November 6, 2014

STAR MILCA KAKETE AISHIE CANADA ACHUKUA USHINDI WA TUZO KATIKA MASHINDANO YA MUZIKI WA INJILI.

By Jimmy  |  7:50 AM No comments

Muziki wa injili Tanzania unazidi kukua na kupanuka kwa wigo wake ukiacha miaka kadhaa hapo nyuma.Mwanamzuiki wa Injili Milka Kakete ambaye alijipatia ushindi katika mashindano ya kimataifa ya muziki wa Injili yaliofanyika katika jiji la Maryland na  Milka Kakete  ambaye ni Mtanzania anayeishi
Canada aliibuka mshindi katika mashindno yaliojumuisha wanamuziki wa Injili kutoka nchi mbali mbali za Afrika.
Hii ni sehemu ya mahojiano na kituo kikubwa cha Radio kilichopo Marekani VOA baada ya kupata ushindi huo.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP