Kwa mara ya kwanza niliposikia wimbo wa 24 elders "NIKUONE" nilikua na swahiba wangu Samuel Sasali.Niliusikiliza zaidi ya mara kumi sikuuchoka,kilicho ni vutia zaidi katika wimbo huo ni kitendo cha wao kumshirikisha Pastor Emmanuel Ushindi.Emmanuel Ushindi ni moja kati ya waimbaji wenye mashahiri yenye
