Showing posts with label James Temu news 10:01 Am. Show all posts
Showing posts with label James Temu news 10:01 Am. Show all posts

Wednesday, November 12, 2014

UNAPENDA KUSIKILIZA WIMBO MPYA WA BONY MWAITEGE "SOMA MWANANGU" FEAT BAHATI BUKUKU.UKO HAPA

Kwa mara ya kwanza baada ya ukimya wa muda mrefu Bony Mwaitege ameachia record mpya 'Soma Mwanangu' akimshirikisha Mamaa wa Tabata Migombani Bahati Bukuku.Mdau wangu baada

Friday, October 24, 2014

HOFU YA UGONJWA WA EBOLA YATANDA MJI WA MOSHI.

  Lango kuu la kuingia zahanati ya Shirimatunda likiwa na tangazo la kusitishwa kwa huduma za afya katika zahanati hiyo kwa hofu ya kuwapo kwa mgonjwa wa Ebola.

 Wakazi wa kata ya Shirimatunda katika maanispaa ya Moshi, wameingiwa na hofu ya kupoteza maisha yao,kufuatia taarifa za kuwapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa na ugonjwa hatari wa Ebola anayehudumiwa katika zahanati ya kata hiyo.

Kutokana na hofu hiyo,halmashauri ya manispaa ya Moshi imelazimika kuifunga kwa muda usiojulikana zahanati hiyo na kuwahamishia wagonjwa katika hospitali nyingine ikiwamo ya St Joseph katika manispaa ya hiyo.

Wednesday, October 15, 2014

HELLEN GEORGE KUTOKA WORD ALIVE CENTRE AIBUKA MSHINDI SERENGETI SUPAR NYOTA DIVA DAR.

 Usiku wa jana katika Club ya Sansiro Sinza kulifanyika mashindano ya Serengeti Super Nyota Diva yanayo ratibiwa na Clouds fm chini ya DJ Fetty.

Hellen alionyesha uwezo wake toka mwanzo wa shindano hilo.....aliingia fainali na mwanadada Emmy Wimbo na kumwaga kwa kura nyingi na mpaka kuwapa shida majaji wa shindano hilo,ambao walikua Barnaba Elias,Producer Tudd Thomas na Dj Fetty.Mpaka mwisho wa shindano Hellen aliibuka mshindi

Thursday, June 26, 2014

TAARIFA HII IKUFIKIE POPOTE ULIPO MDAU WANGU.UINJILISTI FOREST KUZINDUA ALBAM 3 KWA MPIGO.


Friday, June 20, 2014

R I P DEBORA SAIDI-TUTA KUKUMBUKA.

Kwa taarifa nilizopokea kutoka kwa ndugu wa karibu wa familia ya Debora Said, (DEBORA SAID HATUNAYE DUNIANI)  amefariki asubuhi ya leo katika Hospitali ya Muhimbili.
 Bwana ametoa na Bwana ametwa jina la Bwana liimidiwe...Endelea kufatila Unclejimmytemu.com kwa taarifa zaidi.

Thursday, June 12, 2014

MUENDELEZO WA PICHA ZINGINE ZA ISRAEL NA MAENEO YAKE MDAU WANGU.

 Hili ni shamba la Boaz mahali ambapo Ruthu alikwenda kuokota mazao shambani

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP