Friday, October 31, 2014

JICHO LA UNCLEJIMMY NA CALVARY BAND-ANASTAHILI SIFA.

By Jimmy  |  2:09 PM No comments

Calvary G Band ina waimbaji 13 wakiwa chini ya kanisa la Calvary Church kinondoni dar es salaam.Leo kupitia jicho la Uncle nakupa nafasi ya kusikiliza bonge moja la song lao (Anastahili Sifa) ambao nathubutu kusema katika mwaka 2014 sidhani kama kunasebene nzuri kama hili.

Wimbo:Anastahili Sifa,umefanywa na Studio ya John Lisu (Real Production)
Producer:Masanja
Drums:Henoc Mwamba.
 Bass Gita:Jeremia
Solo&Rhythm:Steven Malonga
Tumba:Dagarin
Keyboard:Producer Masanja
Chorus na Vocals:Debro Gabriel,Dorice John,Lety Nyaso,Levi Ngoy
Rapers:Henoc Mwamba,Michael Ngoy na Levis Ngoy.
Watunzi:Ni Levi Ngoy na Michael Ngoy

Wimbo huu umepigwa live mdau wangu,kwa hisani ya Unclejimmytemu.com enjoy nao hapo chini na weekend njema kwako.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP