Monday, March 10, 2014

Boko Haram Waliotaka Kulipuwa Kanisa la TB Joshua

By Unknown  |  1:28 PM No comments

Boko Haram Ndani Ya SCOAN

Mmoja afanyiwa "Deliverance"




Boko Haram Ndani Ya SCOAN.....Jana Wakati ninatazama Ibada ya Kutoka Kanisa la TB Joshua wakati Ibada inakaribia kumalizika ndipo TB Joshua akatangaza kuna Jamaa anataka kufanya Ukiri wa kile alichokuwa amekusudia kukifanya na kikashindikana.



Alionekana Kijana aliyejitambulisha kwa jina la Mustapha kutoka Kitongoji cha Adamawa. Alieleza kuwa yeye pamoja na Boko Haram wengine wanne walikuwa wametumwa kuja kulipua kanisa hilo. Kijana huyo alieleza wakiwa katika "Junction" ya kuelekea katika barabara ya kuelekea katika Kanisa hilo Walimpatia Mwenzao mmoja mfuko uliokuwa na Bomu kwa ajili ya kufanya ulipuaji kijana huyo akakataa.....


Kutokana na mabishano hayo wakaamua kuingia kwenye mgahawa ulio karibu na Kanisa hilo. Walikuwa wakila na kunywa huku wakitazama Ibada zinazoendelea hapo SCOAN. Kijana huyo anaeleza wakati TB Joshua alipoanza kuombea watazamaji katika TV ndipo Maombi hayo yaka "wavuruga", Boko harama wengine wanne wakaamua kuondoka baada ya "kuvurugwa" na maombi ila Mustapha akawekwa chini ya Ulinzi na Roho Mtakatifu akatoka katika Mgahawa na Kwenda Kanisani kuelezea Majanga yaliyowapata.






CONTENTMENT: VIRTUE OF TRUE CHRISTIANITY
CONTENTMENT: VIRTUE OF TRUE CHRISTIANITY
IN ENGLISH


Anthony Darmasy
http://apostledarmacy.blogspot.com/

credit;

Unknown Author: Unknown

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By Bloggertheme9