Tuesday, September 2, 2014

PICHA ZA EVENT YA EMMY KOSGEI,MIAKA 10 YA UIMBAJI WAKE.

By Jimmy  |  12:04 AM No comments

Award winning gospel singer Emmy Kosgei Madubuko siku ya J/pili alifanya lauched ya album yake ya DVD “Sobei Cheiso” katika ukumbi wa NPC Valley Road.Watu mbalimbali walifika katika tukio ilo la ainya yake akiwemo the wife of former prime minister Ida Odinga pamoja na mume wa Emmy Kosgei Aselm Madubuko and her parents.

Moja kati ya vitu vilivyo leta mguso mkubwa ni pale Emmy Kosgei alipotumia
live band akichanganya na midundo na skrash za Dj Mo,kufanya kupigiwa shangwe za nguvu.Baada ya burudani ya muziki wake kulifatia ‘memorable’ alipoanzia muziki wake na mpaka kufikisha miaka 10 akiwa amedumu kwenye tasnia ya Gospel.Vile vile Emmy alialika waimbaji wengine ambao walifanya vizuri  kama……SARAH K,EUNICE NJERI AND VICK KITONGA,MBUVI,JULIANA NA MARY ATIENO.Twende sawa na matukio ya picha mdau wangu kwa hisani ya Unclejimmytemu.com















Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP