Mkurugenzi wa Kiango Media (kulia) na Mkurugenzi wa Kingdom Media Wakibadilishana Mikataba iliyotiwa saini
Kampuni
Ya Kingdom Media yenye Makao Makuu yake Nchini Marekani siku ya leo
Imewekeana Mkataba na Kampuni ya Kiango Media yenye maskani yake Jijini
Dar-es-Salaam.
Siku Ya Leo Katika Hotel moja jijini Dar-es-Salaam, Makampuni haya mawili yameamua kutiliana saini kwa ajili ya Kufanya kazi ya Muziki wa Injili kwa Manufaa ya Wanamuziki wa Injili hapa
Tanzania. Siku Ya Leo Katika Hotel moja jijini Dar-es-Salaam, Makampuni haya mawili yameamua kutiliana saini kwa ajili ya Kufanya kazi ya Muziki wa Injili kwa Manufaa ya Wanamuziki wa Injili hapa
Akizungumza
na Waandishi wa Habari siku ya leo Mkurugenzi Mtendaji wa Kingdom
Media, Bw. Alex amesema kuwa "Mkataba huu utawanufaisha kwa kuwatangaza
Wanamuziki wa Injili wa Tanzania katika nchi za America pamoja Ulaya
ambako Kingdom Media imeweka makazi yake"
Naye Mkurugenzi wa Kiango Media Sam Sasali Ze Blogger akiongea mbele za Waandishi wa habari alisema "Huu ni Mkataba wa pili ndani ya wiki hii kwa Kampuni yetu ya Kiango, kuweza kutiliana saini na makampuni ya kimataifa katika kutangaza kazi za |Wanamuziki wa Injili"
Akifafanua baadhi ya makubaliano yaliyoingiwa siku ya leo Ze Blogger alisema "Mara nyingi sana tumekuwa tukiwapokea wanamuziki kutoka Africa Ya Kusini, Congo, Kenya na kwingineko, Sasa ni zamu yao kutupokea Tanzania, Kupitia Mikataba tunayoingia na Makampuni ya Kimataifa nia hasa ni kupeleka kazi ya Muziki wa Injili nje ya Mipaka ya Tanzania"
Naye Mkurugenzi wa Kiango Media Sam Sasali Ze Blogger akiongea mbele za Waandishi wa habari alisema "Huu ni Mkataba wa pili ndani ya wiki hii kwa Kampuni yetu ya Kiango, kuweza kutiliana saini na makampuni ya kimataifa katika kutangaza kazi za |Wanamuziki wa Injili"
Akifafanua baadhi ya makubaliano yaliyoingiwa siku ya leo Ze Blogger alisema "Mara nyingi sana tumekuwa tukiwapokea wanamuziki kutoka Africa Ya Kusini, Congo, Kenya na kwingineko, Sasa ni zamu yao kutupokea Tanzania, Kupitia Mikataba tunayoingia na Makampuni ya Kimataifa nia hasa ni kupeleka kazi ya Muziki wa Injili nje ya Mipaka ya Tanzania"
Mkurugenzi wa Kiango Media (kulia) na Mkurugenzi wa Kingdom Media Wakibadilishana Mikataba iliyotiwa saini
Mkurugenzi wa Kingdom Media akijiridhisha kwa kusoma Mkataba
Mkurugenzi wa Vipindi na Habari wa Kiango Media Kulia James Temu,
Mkurugenzi wa Kiango Media Tanzania, Mkurugenzi wa Kingdom Media ya
Marekani na Mwakilishi wa Kingdom Media Tanzania wakipiga picha mara
baada ya kuzungumza na Wana Habari
Aidha
Mkurugenzi Mtendaji wa Kiango Media alieleza Waandishi wa habari kuwa
Utaratibu wa kufanya kazi na wanamuziki wa Injili hapa Tanzania
utaandaliwa na kuwasilishwa kwa uongozi wa Chama Cha Muziki wa Injili
Tanzania ili kuweza kupata mawazo pia ya wanamuziki namna bora ya
kuendesha mikataba yake pamoja na wanamuziki.
Huu ni Mkataba wa pili ndani ya wiki moja ambapo mapema wiki hii Kiango Media Iliingia Mkataba na Mikito.Com kwa ajili ya kuuza nyimbo za wanamuziki wa Injili kupitia Mitandao Ya Kijamii.
Kiango Media Company inatazamia kuzindua Radio, Television pamoja na Magazine ya "Gospel Today" kati ya mwezi October, 2014 na January, 2015.
Huu ni Mkataba wa pili ndani ya wiki moja ambapo mapema wiki hii Kiango Media Iliingia Mkataba na Mikito.Com kwa ajili ya kuuza nyimbo za wanamuziki wa Injili kupitia Mitandao Ya Kijamii.
Kiango Media Company inatazamia kuzindua Radio, Television pamoja na Magazine ya "Gospel Today" kati ya mwezi October, 2014 na January, 2015.
Mwakilishi wa Kingdom Media akianguka Saini huku akishuhudiwa na Wawakilishi wa pande zote mbili.



0 comments: