Tuesday, September 17, 2013

BAADA YA NEEMA GASPER GLORIA MULIRO KUTOKA KENYE AVISHUKURU VYOMBO VYA HABARI KWA SUPPORT KUBWA WALIYO MPATIA.

By Jimmy  |  12:58 AM No comments

Wiki iliyopita muimbaji wa muziki wa njili Neema Gasper alivishukuru vyombo vya habari kwa support kubwa waliyo mpatia katika kutangaza kazi yake ya muziki wa injili.Nako nchini Kenya muimbaji wa muziki wa Gospel Gloria Muliro amefanya shukrani kwa kwa vyombo vya habari nchini Kenya kwa kazi kubwa walioifanya katika kumtangaza kupitia uimbaji wake na kumfanya kutengeneza pesa ndefu katika maisha yake.
Ni mara chache waimbaji wa muziki wa injili hukumbuka mchango wa vyombo vya habari vinavyo toa supporting kubwa pale wanapoa anza kazi yao wakiwa sifuri kuelekea kwenye moja tatu sita na kuendelea.Tizama picha chache ya kile kilichojiri
Gloria_Muliro.jpg
Gloria Muliro akisema jambo juu ya wadau na watangazaji mbalimbali walipo fika
DJ_Mo.jpg
DJ Mo follows
DJ Sadic na Gloria.
DJ_Moz.jpg
DJ Moz getting msosii!
meals.jpg

Mzazi_enjoys_his_meal.jpg
Mzazi' Willy M Tuva
Jalang'o with Gloria

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP